tunakuchimbulia mpaka mwisho

HIZI NDIZO SEHEMU ZINAZOMPA UTAMU MWANAMKE...!!!SOMA HAPA KUJUA ZAIDI..!!!!

No comments

Kwa bahati nzuri wanawake wana maeneo 5 ambayo huwawezesha kusikia utamu wa kufanya ngono tofauti na wanaume. Sehemu maarufu ni kisimi na G spot lakini kuna eneo lingine linaitwa AFE ambalo liko mwishoni kabisa mwa uke na vile vile kuta za uke bila kusahau mwanzo wa uke. 

Mwanamke huweza kupata utamu wa tendo hili takatifu kwenye maeneo yote hayo ikiwa mpenzi wake anajua kuwajibika, sio kufanya mapenzi kwa muda mrefu tu bali pia kujua kucheza na uume wake. Pamoja na utundu wake pia wewe mwanamke unatakiwa kuwa wazi na huru kumuelekeza ikiwa kagusa kusiko au kapatia kunako utamu. Utamu wa maeneo yote hayo ni tofauti na unazidiana kati ya mwanamke mmoja na mwingine. 

Hebu sasa tutazame hizo sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake. 
Kisimi Wanawake hupata utamu wa kisimini kwa njia ya kusuguliwa, kushikwa, kuchezewa kwa ulimi, kidole au kichwa cha uume. Utamu wa mahali hapa hupatikana haraka na hufanya usitamani tena tendo hilo kwa muda fulani (Kuanzia dakika 3 – 15) na kikiguswa tena huweza kumpa mwanamke maumivu fulani hivi. Baadhi ya wanawake huwa hawawezi kuendelea 
tena na tendo mara baada ya kuchezewa 
kisimi. G-spot Utamu wa mahali hapa ni wa nguvu sana na wanawake wengi huishiwa nguvukwa muda wanapoguswa eneo hili. Nguvu hizo huchukua muda wa dakika 20 – 45 kurejea, na zikirejea hamu haiishi. Hivyo wakati wewe umezimia mpenzi wako anaweza kuendelea na mchezo na nguvu zikirudi basi na wewe unaendelea kutafuta goli lingine. 

Mwanzo wa uke Utamu wa mahali hapa haumpotezei mwanamke hamu, kwani hafiki kileleni bali anasikia utamu fulani hivi. Ili mwanamke aweze kufika kileleni,mwanaume anatakiwa aingize uume ndani zaidi ili aweze kugusa eneo la G- Spot na kuta za uke. 

Kuta za uke Utamu wa eneo hili unapatikana toka mwanzo uume ulipoingizwa, na kadri mnavyoendelea kufanyana ndivyo utamu unavyozidi kuongezeka na hatimaye mwanamke hujikuta akifika kileleni. Mwisho wa uke (karibu na njia ya uzazi) Utamu wa eneo hili hupatikana endapo uume wa mpenzi wako utagusa mwisho wa uke. Kwa kawaida mwanamke husikia maumivu flani anapoguswa eneo hili lakini wakati huo huo badoanapenaendelee na wakati mwingine anaweza kumuomba mpenzi wake afanye kwa nguvu. Pia mwanamke anaweza kutokwa na damu endapo ataguswa eneo hilo. Ewe mwanamke,hakikisha unamruhusu mpenzi wako kufika huko ikiwa mnaaminiana, mko kwenye uhusiano wa kudumu, msafi kiafya na uko tayari kuwa mama endapo mpenzi wako atateleza na kuachia kidogo kwani eneo hili lipo mlangoni kabisa mwa njia ya uzazi.

No comments :

Post a Comment