tunakuchimbulia mpaka mwisho

Kwa nini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

No comments
 


1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:

(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?

(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI. 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

No comments :

Post a Comment